Ufufuo na uzima

Ufufuo na uzima

Neema Michael (Njia zake ni njia za kupendeza sana, Na mapito yake yote ni amani.)Mithali 13:17


Huyu ni mwanadada Neema Michaeli 
ni Msichana mwenye umri usio pungua miaka miaka 25,
Ni msichana watofauti sana katika kumtumikia Mungu 
hapa anaonekana akiwa katika harakati za kukusanya Matoleo na zaka 
katika nyumba ya Bwana Ufufuo na uzima - kawe.



Ni mwana dada anayejua pose na mwenye mvuto kwa kila atakaye muona
Ni mcheshi sana,Mpenda watu na wenye kupenda kua na furaha kila wakati.
Hebu mpe marks kwa pose aliloweka.


Hakika yake huwadharau wenye dharau,  
(Neema Michael)

Njia zake ni njia za kupendeza sana, 
Na mapito yake yote ni amani. 
Daudi chisata & Neema Michael

Usiingie katika njia ya waovu, 
Wala usitembee katika njia ya wabaya. 
Jiepushe nayo, usipite karibu nayo, 
Igeukie mbali, ukaende zako. 
Maana hawalali isipokuwa wametenda madhara; 
Huondolewa usingizi, ikiwa hawakumwangusha mtu. 
Maana wao hula mkate wa uovu, Nao hunywa divai ya jeuri. 
Bali njia ya wenye haki ni kama nuru ing'aayo, 
Ikizidi kung'aa hata mchana mkamilifu. 
Njia ya waovu ni kama giza; 
Hawajui ni kitu gani kiwakwazacho. 
(Jessca & Neema)


Kwa maana njia za mwanadamu zi mbele za macho ya Bwana, 
Na mienendo yake yote huitafakari.
Johanes Kanaani & Neema Michaeli 

Heri mtu yule aonaye hekima, Na mtu yule apataye ufahamu. Mithali 3:13

Heri mtu yule aonaye hekima, Na mtu yule apataye ufahamu, Yeye ana thamani kuliko marijani, Wala vyote uvitamanivyo havilingani naye.

Harusi yangu Hussein Njenje ilifungwa katika hall la jamuhuli DSM 18.1.2015 hm production

Bwana harusi hussein njeje akiwa teyari kwa tukio la kufunga ndoa

Bwana harusi hussein njeje akiulizwa maswali na mfungishaji ndoa hiyo

Bwana harusi hussein njeje akipewa mkondo wa heri baada ya tukio la kufunga ndoa

Bwana harusi hussein njeje akiakimsomea dua mke wake baada ya kufunga ndoa

Mr and Mrs harusi hussein njeje wakiwa na furaha baada ya tukio la kufunga ndo


Tendo kuu ni kuvishana pete

Mr and Mrs harusi hussein wakivalishana pete

Angalia Pete ya Mke wangu "Hussein Njenje"

Baada ya tendo la kuvalishana pete sasa wanasaini vyeti vya ndoa

Baada ya tendo la kuvalishana pete sasa wanasaini vyeti vya ndoa


Tukio zima ni maupendo tuu

Mrs Hussein Njenje

Yote ni upendo

Zawadi kwa wanandoa

Matukio katika simu

Photographer harry dominic

Seif Puche na Bwana harusi baada ya kuchukua Jiko

Picha za pamoja

Picha za pamoja

Picha za pamoja

© 18.1.2015 hm production

Mazishi ya mwili wa Stella Justin Kassidi © 15.1.2015 Kinondoni

Gari ya mwili wa Marehemu  Stella Justin Kassid ikiingia katika viwanja
vya makabuli ya kinondoni.

Watu wakiupokea Mwili kuelekea katika eneo la mazishi.

Watu wakiupokea Mwili kuelekea katika eneo la mazishi.

Watu wakiupokea Mwili kuelekea katika eneo la mazishi.

Mwili ukiwa unasubiliwa kuwekwa kwaajili ya ibada ya mazishi.

Mwili wa marehemu Stela justin kassid ukiwekwa kwaajili ya maandalizi ya kuuzika.


Mtoto wa marehemu Francis Kasid akiwa na mke wake Clara wakiweka mchanga wa mwisho katika kabuli la Mama yao Stella Justin Kassidi.

Mtoto wa marehemu Francis Kasid akiwa na mke wake Clara.

Umati wa watu ukiwa katika Mazishi.

Umati wa watu ukiwa katika Mazishi.

Umati wa watu ukiwa katika Mazishi.

Umati wa watu ukiwa katika Mazishi.

Umati wa watu ukiwa katika Mazishi.

Mtoto wa marehemu Francis Kasid akiweka msalaba katika kabuli la marehemu mama yeke.


Mtoto wa marehemu Francis Kasid akiwa na mke wake Clara wakiweka shada katika kabuli la mama yao.


Umati wa watu ukiwa katika Mazishi.

© 15.1.2015 hm production



Wedding Reception ya Farhaan Manji © 11.1.2015 jpl

Ukumbi wa Golden Jubilee Tower Floor ya 5 hiyo ni mandhari ya ndani ya ukumbi na mwonekano wa kuvutia 

Wageni wakionekana katika utulivu.

Camera Man Kamili Athumani akiwa katika harakati za kuchukua matukio


Farhan Manji akiwa katika pose

Mwonekano wa Bi harusi akiingia ukumbini 

Mwonekano wa Bi harusi akiingia ukumbini 

Mwonekano wa Bw harusi 


Bwana harusi akiandaa keki kwaajili ya kumlisha Bi harusi


Bi harusi akitabasamu baada ya kulishwa keki


Bw harusi akituonyesha pete atakayo mvisha Bi harusi


Maharusi wakiwa katika Pose


Maharusi wakiwa katika Pose

Maharusi wakiwa katika Pose

Wapiga picha kutoka Hm production wakipiga picha za pamoja na maharusi


Photographer Dominic Harry


© 11.1.2015 hm production